Shutdown Academy

60 dakika

Utetezi na Kampeni Dhidi ya Kuzimwa kwa Mtandao

Access Now
Muhtasari:
Kozi hii inaangazia kuzima kwa mtandao na jinsi ya kuhamasisha na kupigana dhidi ya jambo hilo. Ikilenga mashirika ya kiraia na wanaharakati wa ngazi ya chini, kozi hii inatoa ushauri wa vitendo, mbinu na mikakati ambayo watu binafsi au mashirika yenye rasilimali chache yanaweza kuyatekeleza.
Kuhusu kozi hii:
Kuzimwa kwa mtandao kunaweza kutuathiri sisi kama watu binafsi au wanaharakati katika karibu nyanja zote za maisha yetu, ikijumuisha jinsi wanafunzi wanaweza kushiriki katika mitihani, jinsi waandishi wa habari wanavyoripoti matukio, jinsi tunavyoshiriki katika uchaguzi, jinsi biashara ndogo ndogo zinavyoweza kuhimili na kuendelea na jinsi tunavyopata huduma ya afya. Haya sasa, tuanze safari ya kupanua na kutetea haki za kidijitali za kila mtu.
Najifunza nini:
Kozi hii inakusudiwa kuwapa watu binafsi na vikundi vidokezo vya vitendo vya kampeni za utetezi wa umma dhidi ya kuzima kwa mtandao. Katika kila sura, kozi inaangazia jinsi majimbo, watawala, wanajeshi, na watendaji wengine ulimwenguni kote huwezesha na kutekeleza kuzima kwa mtandao, ikiangazia mafunzo kutoka kwa wale wanaopigana dhidi yake.
Ni nini nafaa kujua:
Kozi hii haihitaji ujuzi wowote maalum. Kwa kuwa inaangazia kuzima kwa mtandao na kuainisha njia za kusuluhisha kuzima, maarifa fulani ya mitandao ya kijamii, mitandao ya simu na majukwaa ya intaneti ni muhimu, ilhali maarifa ya msingi ya IT itasaidia lakini si muhimu.

Walimu

Felicia Anthonio

Felicia Anthonio ni Meneja wa Mradi wa #KeepItOn katika Access Now, shirika la kimataifa lisilo la kibiashara kwa wito wa kueneza na kutetea haki za mtandaoni za watumiaji waliohatarini. Mradi wa a #KeepItOn, ni mradi wa kote ulimwenguni ambao umeunganisha zaidi ya mashirika 280 ambayo yanayojituma kumaliza uzimaji mtandao kote ulimwenguni.

1.1 Utangulizi wa kozi
1.2 Athari za kuzima mtandao
1.3 Kupambana na kufungwa mtandao - mikakati na mbinu za wanakampeni
1.4 Kupambana dhidi ya kufungwa mtandao - mafunzo kutoka kwa kampeni ya #KeepItOn
2.1 Kuzorota kwa demokrasia duniani na kupungua kwa nafasi kwa jumuiya za kiraia
2.2 Kuzimwa mtandao barani Afrika: ni nani anayeziendeleza? Nani anapigana nazo?
2.3 Kuzimwa mtandao huko Asia Pacific: ni nani anayezifanya? Nani anapigana?
2.4 Kuzimwa Mtandao huko Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini: Ni nani anayezifanya?
2.5 Kuzimwa huko Amerika Kusini na Karibiani: Ni nani anayeziendesha? Nani anapigana?
2.6 Kuzimwa mtandao huko Ulaya Mashariki na Asia ya Kati:ni nani anayezifanya?
3.1 Zana za utetezi wa kuangalia uchaguzi na kuzima mtandao
3.2 Kuzimwa mtandao wakati wa machafuko ya wenyewe kwa wenyewe na maandamano
3.3 Kuzima Mtandao wakati wa mitihani
3.4 Kukaa salama wakati wa kuzimwa mtandao
3.5 Shughuli: Je, unaweza kumkabili mhusika wa kusimamisha uchaguzi?
3.6 Kupambana na kufungwa mtandao kupitia taasisi za kimataifa, jumuiya ya kimataifa
3.7 Jinsi makampuni yanavyoweza kupambana na kuzima mtandao Mwongozo wa Umoja wa Mataifa
4.1 Uchunguzi kifani: kuzimwa mtandao na jinsia
4.2 Uchunguzi kifani: kuzimwa mitandao na misaada ya kibinadamu
4.3 Uchunguzi kifani: kuzimwa na ulemavu
4.4 Uchunguzi kifani: kuzimwa mtandao na huduma za afya
5.1 Malizia video
5.2 Uchunguzi wa kozi

Kozi zinazohusiana

usomaji unaopendekezwa

  • Blogu

    Idhinishwa: Kutambulisha Vyeti vya AASA kwa Watetezi Uhuru Wa Mtandao

    The Advocacy Assembly Internet Shutdown Academy (AASA inatoa vyeti kwa wanafunzi wa mtandaoni ambao walimaliza kozi kumi zote katika programu za Shutdown Academy!

  • Blogu

    Uhakiki wa Shutdown Academy Ya Advocacy Assembly katika mwaka wa 2023

    Katika mwaka wa 2023 Shutdown Academy ya Advocacy Assembly ilifanikiwa sana katika kuendeleza upiganaji wa haki za kidijitali na kupigania haki za uzimaji mtandao kote ulimwenguni. Tuna furaha kushea na nyinyi mafanikio makubwa na miradi tulifanikisha mwaka huo, na kuonyesha shughuli ambazo tumefanya kwa muda wa mwaka mmoja.

  • Blogu

    Stori Ukakamavu kutoka Mradi wa Mafundisho ya Advocacy Assembly

    Kwa sababu ya maombi mengi ya kutaka kuwa na Mradi wa Mafunzo ya Ukuzaji wa AA-ISA wa kwanza, tumeamua kuendesha huu mradi kuanzia Februari hadi Aprili 2024. Mradi huu utakufaa na kukupa maelekezo ya kijamii huku ukisomea kozi kumi za Advocacy Assembly Internet Shutdown Academy, na pia nafasi za kukutana na wakuzaji, wataalam na wafadhili.

  • Blogu

    Changamoto na fursa kwaajili ya mpango mkakati wa kupingana na uzimwaji wa mtandao

    Kama sehemu ya uchechemuzi unaofanywa na hii kozi ilikusanya meza ya majadiliano kwenye mpango mkakati kupingana na uzimwaji wa mtandao. Kwenye majadiliano Wataalamu walioongelea uzoefu wa changamoto wa uzimwaji mahakamani Kitaifa na kikanda na Kushea mazoezi kwenye mkakati wa kisheria.

  • Blogu

    Kichwa cha habari: kozi za kuzuia kuzimwa kwa mtandao

    Uchechemuzi unazuia uzimwaji wa mtandao na ukatazaji wa watu kutoa maoni yao mtabdaoni. Watu wakikosa upatikanaji wa mtandao wanapoteza haki muhimu na fursa mbalimbali zinazopatikana ulimwenguni. Watu kutoka sehemu mbalimbali duniani wanapigania haki ya upatikanaji wa mtandao ikiwemo Mawakili, Waandishi wa habari na watetezi wa Haki za kibinadamu wanaungana kupinga vikali vitisho dhidi ya uzimwaji wa mtandao.

  • Blogu

    Zana hii ya mtandao huwasaidia wanaharakati kukusanya ushahidi wa kukatizwa kwa muun

    This article showcases a case study from our course ‘Detecting Internet Shutdowns with IODA’.

Ruka enda kwa upitiaji/urambazaji