Advocacy Assembly

Kichwa cha Kosi : Kunakili Ukiukaji wa Haki za Binadamu wakati wa Kuzimwa Mtandao

Kosi hii inatoa muongozo wa jinsi ya kunakili ukiukaji wa haki za binadamu kwa njia salama na vizuri zaidi kwa kutumia vidio wakati wa kuzimwa mtandao. Inayowalenga wanaharakati wa mashinani, kosi hii inatoa ushauri wa vitendo ambao watu ama mashirika madogo yaliyo na raslimali finyu wanaweza kutunga.

Jisajili

Utangulizi kuhusu uzimaji mtandao

Kozi hii inakupa utangulizi kuhusiana na kuzimwa kwa mtandao, ikiwa pamoja na kuangalia tatizo la uzimwaji na mifano ya namna mbalimbali serikali zinazima mtandao na njia nyinginezo za mawasiliano. Itachunguza jinsi uzimaji mtandao unazidisha dhuluma dhidi ya haki za binaadamu na kuzuia mchakato mzima wa kidemokrasia. Kozi hii inaangazia ni nani anapinga, na mbinu kadhaa za washikadau za uanaharakati zinazotumiwa na muungano wa #KeepItOn ulimwenguni ili kusitisha uzimaji mtandao.

Jisajili

Kutambua Uzimaji Mtandao na IODA

Lengo la kozi hii ni kukufundisha kutumia IODA. IODA inatumika kama jukwaa la kutambua muunganisho wa mtandao. Tunasaidia uhuru wa mtandao katika jamii na watumiaji wa mtandao ulimwenguni ili kuthibitisha uvurugaji wa mtandao na ili kuelewa kina cha uvurugaji huo katika eneo na muda. Ili kufaulu tunatoa dashibodi kwa umma wa kuangalia mtandao muda wa 24/7 na kutoa vipimo vya muunganisho wa mtandao katika nchi, eneo na watoaji mtandao.

Jisajili
Jiandikishe

Jiandikishe

Linaloongoza ulimwenguni kwa mafunzo ya mtandaoni ya bure kwa wanaharakati wa haki za binaadamu, wahamasishaji na wanahabari.

Jisajili

Jisajili

Kozi zetu za mifumo mingi zinafunzwa na wataalamu wa kiufundi, haki za binadamu, uanahabari, usanifu, na data kutoka mashirika bora ulimwenguni.

Soma

Soma

Jipatie ujuzi wa kiufundi wa utetezi kwa lugha ya Kingereza na lugha nyinginezo. Kozi huchukua hadi muda wa dakika 90 kumaliza kwa mwendo unaopenda. Unaweza kuanza na kumaliza kozi wakati wowote unaotaka.

Kozi zetu za hivi punde

  • 60 dakika

    Shutdown Academy

    Kutumia Mkondo wa mashtaka Kupigana na Uzimaji Mtandao

    Centre for Law and Democracy

    60 dakika

    Centre for Law and Democracy
  • 60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Uzimaji Mtandao

    Ve Sin Filtro

    60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Uzimaji Mtandao

    Ve Sin Filtro
  • 60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Udhibiti wa Mtandaoni

    Ve Sin Filtro

    60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Udhibiti wa Mtandaoni

    Ve Sin Filtro
  • 60 dakika

    Centre for Law and Democracy

    60 dakika

    Centre for Law and Democracy
  • 60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Uzimaji Mtandao
    Ve Sin Filtro

    60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Uzimaji Mtandao
    Ve Sin Filtro
  • 60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Udhibiti wa Mtandaoni
    Ve Sin Filtro

    60 dakika

    Shutdown Academy

    Kupunguza Udhibiti wa Mtandaoni
    Ve Sin Filtro
Angalia zote

Pata kozi za hivi punde kwenye kabrasha.

Jiandikishe kupata jarida letu leo

Blogu & Zanakazi

Angalia zote

Washirika

logo

Access Now

Access Now ni shirika lisilo la kibiashara lililoanzishwa 2009 kwa mwito wa kupigania na kueneza haki za kiraia za kidijitali kwa watu kote ulimwenguni. Access Now inasaidia miradi ikiwa ni pamoja na RightsCon, kongamano la kila mwaka la Haki za Kibinaadamu na #KeepItOn, msururu wa uzimaji mtandao. Pia inatoa kiungo cha kutokea kwenye angavu ya Tor. Kufikia mwaka wa 2020, Access Now ilikuwa na sheria nchini Belgium, Costa Rica, Tunisia, na Marekani, pamoja na wafanyakazi wake, utendaji na shughuli zote zikiwa zimeenezwa katika kanda zote za ulimwenguni.

logo

Global Network Initiative

Global Network Initiative (GNI) iliasisiwa mnamo mwaka wa 2008 kama jukwaa la kuangazia suala la kukinga haki za kidijitali. Ni jukwaa la washikadau-wengi ambalo linajumuisha kampuni za teknolojia na mawasiliano, mashirika ya haki za kibinaadamu na mashirika ya uhuru wa vyombo habari, elimu na wawekezaji. Kanuni na Miongozo ya Utekelezaji za GNI hutoa mikakati endelevu kwa kufanya maamuzi ya uwajibikaji ya kampuni katika harakati za kuunga mkono uhuru wa kuzungumza na haki za ufaragha. Kila baada ya miaka mitatu, wanachama wa GNI hushiriki utathimini huru ili kufahamu hatua wamepiga katika utekelezaji Kanuni za GNI.

logo

Internet Intelligence Lab

The Internet Intelligence Lab ni ukumbi wa masomo ya utafiti katika Georgia Tech School ya Sayansi ya Kompyuta katika Taasisi ya Kompyuta. Tunaangazia kuelewa na kuimarisha usalama na utegemeaji wa mtandao. Timu yetu inajumuisha kundi la watafiti kutoka taaluma mbalimbali kutoka Nyanja za sayansi ya kompyuta na sayansi ya kijamii.

 

logo

Open Observatory of Network Interference (OONI)

Katika mwaka wa 2012, shirika la Open Observatory of Network Interference (OONI)lilianzishwa kwa lengo la kuimarisha juhudi za kutoka kanda mbalimbali kunakili udhibitia wa mtandao kote ulimwenguni. Katika utendaji, OONI inaunda programu ya bila malipo -- OONI Probe– ambayo yeyote anaweza kutumia kupimia angavu na kutambua udhibiti wa mtandao. Ili kuongeza uwazi katika udhibitiwa mtandao, OONI huchapisha matokeo ya majaribio yote ya OONI Probe yaliyokusanywa kote ulimwenguni kwa wakati-halisi kama data huru.

Leo hii, OONI ni jumuia ya maelfu ya watumiaji wa OONI Probe katika zaidi ya nchi 200 na maeneo.Tangu 2012, jumuia ya OONI imechangiazaidi ya angavu ya mitandao milioni 525 ya vipimo, ambapo nyingi yazo zimeangaziaudhibiti wa mtandao wa namna mbalimbali ulimwenguni.

Ruka enda kwa upitiaji/urambazaji
0
0
  • Faragha
  • Maagizo