Linaloongoza ulimwenguni kwa mafunzo ya mtandaoni ya bure kwa wanaharakati wa haki za binaadamu, wahamasishaji na wanahabari.
Kozi zetu za mifumo mingi zinafunzwa na wataalamu wa kiufundi, haki za binadamu, uanahabari, usanifu, na data kutoka mashirika bora ulimwenguni.
Jipatie ujuzi wa kiufundi wa utetezi kwa lugha ya Kingereza na lugha nyinginezo. Kozi huchukua hadi muda wa dakika 90 kumaliza kwa mwendo unaopenda. Unaweza kuanza na kumaliza kozi wakati wowote unaotaka.
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
60 dakika
Shutdown Academy
Pata kozi za hivi punde kwenye kabrasha.
Jiandikishe kupata jarida letu leo
Jinsi The Economist inatumia IODA kuripoti Uzimaji Mtandao
Hiki ni kisa cha utafiti katika kozi yetu ya ‘Kukagua Uzimaji Mtandao kwa kutumia IODA’, katika kituo chetu cha Internet Shutdown Academy, ambacho kina kozi 10 katika lugha saba, na kufundishwa na walimu kutoka mashirika makubwa. Imeundwa ili kufunza wanaharakati, wanahabari, na yeyote ameathiriwa na uvurugaji na udhibiti wa mtandao.
Uzinduzi Imara: Gundua Habari Njema katika Advocacy Assembly!
Tunafurahia kutangaza uzinduzi wa tovuti yetu mpya!
Kurudi kwa ubabe wa kidijitali Kuzimwa kwa mitandao mnamo mwaka 2021
Ripoti hii ni chapisho la Access Now kwa muungano wa #KeepItOn na iliandikwa na Marianne Díaz Hernández na Felicia Anthonio kwa ushirikiano na timu ya Access Now.
Macho kwenye kuzimwa kwa mtandao
Globally, internet shutdowns are on the rise. According to AccessNow’s #KeepItOn campaign, there were 128 intentional shutdowns between January - July 2019, compared to 196 in all of 2018, and up sharply from 106 in 2017, and 75 in 2016. Around the world, governments, with the cooperation of telecom companies, are increasingly turning to internet shutdowns as a strategy to repress communities, prevent mobilisation, and stop information about human rights violations from being documented .